Sunday, January 1, 2017

LOWASA ANZA NA KALI YA MWAKA 2017


Wakati Rais Magufuli akianza kwa kuendelea kujenga nidhamu aliyekuwa mgombea wa Chadema ameonekana kuzidi kuchoka kisiasa.

Katika salama zake za mwaka mpya kupitia Azam amesikika akishauri eti vijana waruhusiwe kufanya mapenzi.

Watazamaji kadhaa wamekuwa wajiuliza mzee huyu anamaana gani.

Kwanza ana maana gani? Kwamba watu wamezuiwa?Na nani?Lakini Je anamwambia nani awaruhusu?

Je alikuwa anaelewa anachokisema au network ilikata??

BOFYA HAPO CHINI KUMSIKILIZA ALICHOKIONGEA



No comments:

Post a Comment